Driver / Dereva The School of St Judes Moshono Campus, Arusha, Tanzania
Job Type: Full-Time
Closing Date: 30th October 2023
Location: Dar es Salaam, Tanzania

Tangazo la Kazi: Nafasi ya Udereva (1)

Kuhusu Shule

Shule ya St Jude ni shule inayotoa elimu ya hisani ndani ya Tanzania. Shule hii inafadhiliwa na wafuasi wakarimu kutoka kote ulimwenguni, ambao huwezesha dhamira yetu ya kuwapa wanafunzi wa Kitanzania mahiri wanaotoka kwenye mazingira ya kimaskini elimu ya bure na yenye ubora wa hali ya juu.

Shule ya St Jude inayo furaha kutangaza nafasi moja (1) ya kazi ya Udereva kwa Watanzania wenye sifa stahiki.

Kazi na Majukumu

Sifa za Mwombaji

Vigezo na Masharti

Mwombaji anatakiwa kutimiza masharti yafuatayo kikamilifu kwa kuambatanisha:

Kuambatanisha nyaraka au vyeti vya kughushi kutapelekea kuchukuliwa hatua za kisheria.

Maombi yawasilishwe binafsi katika Shule ya St Jude – Kampasi ya Moshono, kabla ya tarehe 19/02/2026.

Maombi yatakayowasilishwa baada ya tarehe na muda uliopangwa hayatafanyiwa kazi.

Tutawasiliana na waombaji watakaokidhi vigezo na sifa pekee kwa ajili ya majaribio na mahojiano.

ANGALIZO

TAFADHALI KUWA MAKINI NA MATENDO YA UDANGANYIFU KATIKA MATANGAZO YA KAZI NA MCHAKATO WA AJIRA. SHULE YA ST JUDE HAIOMBI MALIPO KATIKA HATUA YOYOTE YA MCHAKATO WA KUAJIRI. OMBI LOLLOTE LA MALIPO LIKATALIWE NA KURIPOTIWA KWA MAMLAKA YA UTEKELEZAJI WA SHERIA ZA MITAA KWA HATUA STAHIKI.