Sanlam Life Insurance(T) Ltd, kampuni inayoongoza nchini Tanzania katika utoaji wa huduma za blma za malsha (Life Insurance) inatangaza nafasi (50) za kazi za Afisa Mauzo (Financial Advisors) katika kitengo cha mauzo kwenye matawi yake ya Mwanza, Arusha, Mbeya, Zanzibar na Dar-es-Salaam. Wakazi wa mikoa husika na wale kutoka nje ya mikoa hiyo wanaopenda kufanya kazi kwenye kanda ambazo tuna matawi yetu wanakaribishwa kutuma maombl yao.
Kama una sifa hizo hapo juu tuma maombi yako au lete kwa mkono kwa:
Meneja, Utumishi na Utawala,
Sanlam Life Insurance (T) Ltd,
P.O box 22229 Mtaa wa Ohio, Jengo la Amani Place Ghorofa ya 9,
Dar-es-Salaam.
Baruapepe: recruitment@sanlamlifeinsurance.co.tz
au info@sanlamlifeinsurance.co.tz
Au piga simu namba (022-2427151-4) kwa maelezo zaidi.
Maombi yatumwe kabla ya tarehe 24/04/2021