MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA (NAFASI 80)
GALCO Limited ni kampuni inayouhusika na usafirishaji wa mizigo tofauti ndani nan je ya nchi.
GALCO Limited inahitaji madereva wenye WELEDI, USOEFU NA UADILIFU wa hali ya juu usiotiliwa shaka na mtu au taasisi yoyote ndani na nje ya nchi.
Waombaji wa nafasi hizi wanatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo wakizingatia vigezo vikuu kumi vilivyotajwa hapa chini;
Maombi yote yaletwe ofisini kwetu kuanzia tarehe 26-08-2021 kwa njia ya mkono na kukabidhiwa kwa walinzi wetu, na kujaza kwenye fomu maalumu. Ofisi zetu zipo Shimo la Udongo, kiwanja namba 2084, Mandela Road Kurasini, Mkabala na maegesho ya magari shimo la udongo. Maombi yote yaelekezwe kwa
Meneja Rasilimali Watu
GALCO LIMITED
S.L.P 6244, DAR ES SALAAM
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 23-09-2021
Zingatia – Muhimu