NAFASI: MHUDUMU WA USAFI (CLEANERS)
Hospitali ya JK inatangaza nafasi za kazi kwa watu wenye sifa stahiki kujaza nafasi ya Mhudumu wa Usafi ili kuimarisha huduma za usafi na mazingria salama kwa wagonjwa, wageni na wafanyakazi.
Kusafisha wodi, ofisi, vyoo, korido na maeneo mengine ya Hospitali.
Kukusanya na kutupa taka kwa kufuata taratibu za usimamizi wa taka.
Kusafisha na kutunza vifaa vya usafi.
Kufuta kanuni za usafi, usalama na udhibiti wa maambukizi (IPC).
Kutekeleza majukumu mengine atakayopangiwa na msimamizi wake.
Awe amehitimu angalau elimu ya kidato cha nne (Form IV).
Awe na uwezo wa kusoma na kuandika kwa Kiswahili.
Awe mwaminifu, mwenye nidhamu na anayezingatia usafi.
Uzoefu wa kufanya kazi katika hospitali au taasisi za afya utakuwa ni sifa ya ziada.
Waombaji watume maombi yao pamoja na nyaraka zote zinazohitajika kupitia:
au wafikishe moja kwa moja kwa moja Ofisini.
Barua ya maombi.
Wasifu binafsi (CV).
Nakala ya cheti cha elimu.
Nakala ya kitambulisho cha Taifa (NIDA) au kitambulisho kingine.
Majina na mawasiliano ya wadhamini wawili (2).
MWISHO WA KUPOKEA MAOMBI:
18/07/2026