Mwanasheria Chama cha Walimu Tanzania(CWT) Tanzania
Job Type: Full-Time
Closing Date: 30th October 2023
Location: Dar es Salaam, Tanzania

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ni Chama cha Wafanyakazi kutoka kada ya Walimu ambacho shughuli zake zipo Tanzania Bara tu. Chama kimesajiliwa kwa Namba 004 chini ya Sheria ya Ajira na Mahusiano kazini Namba 6 ya mwaka 2004 na kinaajiri Wafanyakazi kwa ajira ya kudumu ambao wapo katika kila Mikoa, Wilaya na Makao Makuu. Ili kuboresha huduma kwa Wanachama, CWT kinatoa nafasi ya ajira kwa Mtanzanla mwenye sifa ya Elimu ya Sheria katika ofisi za Chama Makao Makuu yaliyopo Jijini Dodoma.

MWANASHERIA -NAFASI 1

Sifa za mwombaji

Majukumu ya kazi

 

MASHARTI YA JUMLA

  1. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45
  2. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa
  3. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya Wadhamini (referees) watatu wa kuaminika
  4. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka au kupotea
  5. Cheti cha mtihani wa Kidato cha IV na VI
  6. Vyeti vya kitaaluma
  7. Picha moja 'passport size'ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma
  8. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA)
  9. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi
  10. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria
  11. Maombi yanaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza
  12. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 21 Desemba, 2018 saa 10.00 Jioni kupitia anuani ifuatayo:

Katibu Mkuu,

Chama cha Walimu Tanzania,

S.L.P. 3077,

DODOMA.

Barua pepe: Info@ttu.or.tz

Imetolewa na:

Mwl. Deus G. Self KATIBU MKUU - CWT