Analyze your CV for Meneja at Lulu Saccos Ltd
Get a free, instant analysis of how well your CV matches this role. Identify ATS issues, keyword gaps, and actionable improvements to boost your chances.
About this job
Bodi ya chama cha ushirika wa akiba na mikopo Lulu(Lulu Saccos Ltd) MBR.737 kilichopo Jiji la Mbeya maeneo ya Soweto kata ya Ruanda kinatoa tangazo la kazi kwa nafasi zifuatazo:-
Meneja (Nafasi 1)
Sifa
Awe na umri wa miaka kuanzia 30 hadi 50
Awe na elimu ya sekondari
Awe na shahada ya uongozi, uhasibu na fedha, biashara na masoko
Awe ni mtanzania anayeishi katika jiji la Mbeya
Awe anajua kutumia kompyuta
Muombaji atakaye kuwa na shahada ya pili itamwongezea sifa
Awe na uwezo wa kusimamia watendaji walioko chini yake
Awe mbunifu wa mambo mapya
Awe anajituma kufanya kazi
Awe mtu anayejisimamia mwenyewe
Atawajibika kwa bodi ya chama
Awe ni mzaliwa/mwenyeji wa mkoa wa Mbeya
Kazi hii ni ya mkataba wa miaka miwili
Kazi
Kufanya mawasiliano yote kwa niaba ya chama
Kuishauri bodi katika shughuli za ujasiliamali
Kuweka saini kumbukumbu zote kwa niaba ya chama
Kuishauri bodi kuhusu uajiri na kuendeleza watumishi
Kusimamia na kuratibu mipango yote ya uchumi ya chama
Kutayarisha taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka
Kuwa mratibu wa vikao vya bodi
Kuhifadhi nakala ya masharti ya chama
Kuandaa hesabu za mwaka
Kutoa taarifa kwa bodi
Kuwa msimamizi mkuu wa watumishi wa chama
Kusimamia uendeshaji wa shuuli za chama za kila siku
Kuhakikisha kuwa chama kinakuwa na fedha za kutosha kwa ajili ya mikopo
Utaratibu wa kuomba
Mwombaji anatakiwa kuambatanisha picha mbili passport size
Mwombaji atatakiwa kuambatanisha vivuli vya vyeti vya kuzaliwa na vya masomo
Mwombaji aambatanishe CV yake wakati wa kuomba kazi
Mwombaji aonyeshe mawasiliano yake bayana
Mwombaji atakayefaulu kwa awamu ya kwanza ataitwa kwenye usaili
Mwombaji atakeyeitwa kwenye usaili aje na vyeti halisi siku ya usaili
Mwombaji atajigharamia mwenyewe wakati wa usaili
Mwisho wa Kupokea maombi ni tarehe 18/07/2018
Maombi yatumwe kwa:-
MWENYEKITI WA BODI
CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO LULU
S.L.P 3467
MBEYA
Meneja (Nafasi 1)
Sifa
Awe na umri wa miaka kuanzia 30 hadi 50
Awe na elimu ya sekondari
Awe na shahada ya uongozi, uhasibu na fedha, biashara na masoko
Awe ni mtanzania anayeishi katika jiji la Mbeya
Awe anajua kutumia kompyuta
Muombaji atakaye kuwa na shahada ya pili itamwongezea sifa
Awe na uwezo wa kusimamia watendaji walioko chini yake
Awe mbunifu wa mambo mapya
Awe anajituma kufanya kazi
Awe mtu anayejisimamia mwenyewe
Atawajibika kwa bodi ya chama
Awe ni mzaliwa/mwenyeji wa mkoa wa Mbeya
Kazi hii ni ya mkataba wa miaka miwili
Kazi
Kufanya mawasiliano yote kwa niaba ya chama
Kuishauri bodi katika shughuli za ujasiliamali
Kuweka saini kumbukumbu zote kwa niaba ya chama
Kuishauri bodi kuhusu uajiri na kuendeleza watumishi
Kusimamia na kuratibu mipango yote ya uchumi ya chama
Kutayarisha taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka
Kuwa mratibu wa vikao vya bodi
Kuhifadhi nakala ya masharti ya chama
Kuandaa hesabu za mwaka
Kutoa taarifa kwa bodi
Kuwa msimamizi mkuu wa watumishi wa chama
Kusimamia uendeshaji wa shuuli za chama za kila siku
Kuhakikisha kuwa chama kinakuwa na fedha za kutosha kwa ajili ya mikopo
Utaratibu wa kuomba
Mwombaji anatakiwa kuambatanisha picha mbili passport size
Mwombaji atatakiwa kuambatanisha vivuli vya vyeti vya kuzaliwa na vya masomo
Mwombaji aambatanishe CV yake wakati wa kuomba kazi
Mwombaji aonyeshe mawasiliano yake bayana
Mwombaji atakayefaulu kwa awamu ya kwanza ataitwa kwenye usaili
Mwombaji atakeyeitwa kwenye usaili aje na vyeti halisi siku ya usaili
Mwombaji atajigharamia mwenyewe wakati wa usaili
Mwisho wa Kupokea maombi ni tarehe 18/07/2018
Maombi yatumwe kwa:-
MWENYEKITI WA BODI
CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO LULU
S.L.P 3467
MBEYA