Analyze your CV for Afisa Mikopo at Lulu Saccos Ltd
Get a free, instant analysis of how well your CV matches this role. Identify ATS issues, keyword gaps, and actionable improvements to boost your chances.
About this job
Bodi ya chama cha ushirika wa akiba na mikopo Lulu(Lulu Saccos Ltd) MBR.737 kilichopo Jiji la Mbeaya maeneo ya Soweto kata ya Ruanda kinatoa tangazo la kazi kwa nafasi zifuatazo:-
Afisa Mikopo(Nafasi 1)
Sifa
Awe na umri kuanzia miaka 25 hadi 50
Awe na elimu ya sekondari
Awe na shahada ya uhasibu, ushirika, na masoko, na usimamizi wa fedha kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali
Awe hajawahi kufukuzwa kazi mahala popote
Awe mtu wa kujituma
Awe mtu anayejisimamia mwenyewe
Awe anajua kutumia kompyuta
Awe mtanzania anayeishi katika jiji la Mbeya
Awe mzaliwa/mwenyeji wa mkoa wa Mbeya
Kazi
Kutunza na kutoa fomu za maombi ya mikopo
Kupitia fomu za maombi ya mikopo
Kutembelea maeneo ambako waombaji mikipo wanapofanyia biashara zao
Kuandaa vikao vya kamati ya mikopo
Kuhakikisha mikopo iliyoidhinishwa inatolewa kwa wakati
Kufuatilia marejesho ya mikopo
Kutoa elimu ya biashara kwa waombaji mikopo
Kufanya kazi zingine atazopangiwa na mwajiri wake
KAZI HII NI YA KUJITOLEA KWA MUDA WA MIEZI MITANO(5) BAADA YA HAPO ATAAJIRIWA KAMA ATAKUWA AMEKIDHI VIGEZO
Utaratibu wa kuomba
Mwombaji anatakiwa kuambatanisha picha mbili passport size
Mwombaji atatakiwa kuambatanisha vivuli vya vyeti vya kuzaliwa na vya masomo
Mwombaji aambatanishe CV yake wakati wa kuomba kazi
Mwombaji aonyeshe mawasiliano yake bayana
Mwombaji atakayefaulu kwa awamu ya kwanza ataitwa kwenye usaili
Mwombaji atakeyeitwa kwenye usaili aje na vyeti halisi siku ya usaili
Mwombaji atajigharamia mwenyewe wakati wa usaili
Maombi yatumwe kwa:-
MWENYEKITI WA BODI
CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO LULU
S.L.P 3467
MBEYA
Afisa Mikopo(Nafasi 1)
Sifa
Awe na umri kuanzia miaka 25 hadi 50
Awe na elimu ya sekondari
Awe na shahada ya uhasibu, ushirika, na masoko, na usimamizi wa fedha kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali
Awe hajawahi kufukuzwa kazi mahala popote
Awe mtu wa kujituma
Awe mtu anayejisimamia mwenyewe
Awe anajua kutumia kompyuta
Awe mtanzania anayeishi katika jiji la Mbeya
Awe mzaliwa/mwenyeji wa mkoa wa Mbeya
Kazi
Kutunza na kutoa fomu za maombi ya mikopo
Kupitia fomu za maombi ya mikopo
Kutembelea maeneo ambako waombaji mikipo wanapofanyia biashara zao
Kuandaa vikao vya kamati ya mikopo
Kuhakikisha mikopo iliyoidhinishwa inatolewa kwa wakati
Kufuatilia marejesho ya mikopo
Kutoa elimu ya biashara kwa waombaji mikopo
Kufanya kazi zingine atazopangiwa na mwajiri wake
KAZI HII NI YA KUJITOLEA KWA MUDA WA MIEZI MITANO(5) BAADA YA HAPO ATAAJIRIWA KAMA ATAKUWA AMEKIDHI VIGEZO
Utaratibu wa kuomba
Mwombaji anatakiwa kuambatanisha picha mbili passport size
Mwombaji atatakiwa kuambatanisha vivuli vya vyeti vya kuzaliwa na vya masomo
Mwombaji aambatanishe CV yake wakati wa kuomba kazi
Mwombaji aonyeshe mawasiliano yake bayana
Mwombaji atakayefaulu kwa awamu ya kwanza ataitwa kwenye usaili
Mwombaji atakeyeitwa kwenye usaili aje na vyeti halisi siku ya usaili
Mwombaji atajigharamia mwenyewe wakati wa usaili
Maombi yatumwe kwa:-
MWENYEKITI WA BODI
CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO LULU
S.L.P 3467
MBEYA