Analyze your CV for Karani wa Fedha at Lulu Saccos Ltd
Get a free, instant analysis of how well your CV matches this role. Identify ATS issues, keyword gaps, and actionable improvements to boost your chances.
About this job
Bodi ya chama cha ushirika wa akiba na mikopo Lulu(Lulu Saccos Ltd) MBR.737 kilichopo Jiji la Mbeaya maeneo ya Soweto kata ya Ruanda kinatoa tangazo la kazi kwa nafasi zifuatazo:-
Karani wa Fedha - Nafasi 1
Sifa
Awe na umri kuanzia miaka 23 hadi 35
Awe na Elimu ya sekondari
Awe na stashahada ya uhasibu, ushirika na fedha ktuoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali
Awe ni mtanzania anayeishi katika jiji la Mbeya
Awe hajawahi kupatikana na kosa la jinai
Awe ni mtu wa kujituma
Awe ni mtu anayejisimamia mwenyewe
Awe anajua kutumia kompyuta
Awe ni mzaliwa wa mkoa wa Mbeya
Kazi
Kutunza na kuangalia wakati wote kasiki la chama
Kutunza vitaby vya fedha
Kupokea fedha taslimu
Kulipa malipo mbalimbali
Kufanya malinganisho ya fedha ya kila siku kwa kushirikiana na mhasibu msaidizi
Kuhakiki hati za benki kabla ya kukatia stakabadhi
Atafanya kazi zingine zozote atakazopangiwa na mwajiri wake
Kuandaa taarifa za fedha za kila siku
Awe ni mzaliwa wa mkoa wa Mbeya
KAZI HII NI YA KUJITOLEA KWA MUDA WA MIEZI MITANO(5) BAADA YA HAPO ATAAJIRIWA KAMA ATAKUWA AMEKIDHI VIGEZO
Utaratibu wa kuomba
Mwombaji anatakiwa kuambatanisha picha mbili passport size
Mwombaji atatakiwa kuambatanisha vivuli vya vyeti vya kuzaliwa na vya masomo
Mwombaji aambatanishe CV yake wakati wa kuomba kazi
Mwombaji aonyeshe mawasiliano yake bayana
Mwombaji atakayefaulu kwa awamu ya kwanza ataitwa kwenye usaili
Mwombaji atakeyeitwa kwenye usaili aje na vyeti halisi siku ya usaili
Mwombaji atajigharamia mwenyewe wakati wa usaili
Maombi yatumwe kwa:-
MWENYEKITI WA BODI
CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO LULU
S.L.P 3467
MBEYA
Karani wa Fedha - Nafasi 1
Sifa
Awe na umri kuanzia miaka 23 hadi 35
Awe na Elimu ya sekondari
Awe na stashahada ya uhasibu, ushirika na fedha ktuoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali
Awe ni mtanzania anayeishi katika jiji la Mbeya
Awe hajawahi kupatikana na kosa la jinai
Awe ni mtu wa kujituma
Awe ni mtu anayejisimamia mwenyewe
Awe anajua kutumia kompyuta
Awe ni mzaliwa wa mkoa wa Mbeya
Kazi
Kutunza na kuangalia wakati wote kasiki la chama
Kutunza vitaby vya fedha
Kupokea fedha taslimu
Kulipa malipo mbalimbali
Kufanya malinganisho ya fedha ya kila siku kwa kushirikiana na mhasibu msaidizi
Kuhakiki hati za benki kabla ya kukatia stakabadhi
Atafanya kazi zingine zozote atakazopangiwa na mwajiri wake
Kuandaa taarifa za fedha za kila siku
Awe ni mzaliwa wa mkoa wa Mbeya
KAZI HII NI YA KUJITOLEA KWA MUDA WA MIEZI MITANO(5) BAADA YA HAPO ATAAJIRIWA KAMA ATAKUWA AMEKIDHI VIGEZO
Utaratibu wa kuomba
Mwombaji anatakiwa kuambatanisha picha mbili passport size
Mwombaji atatakiwa kuambatanisha vivuli vya vyeti vya kuzaliwa na vya masomo
Mwombaji aambatanishe CV yake wakati wa kuomba kazi
Mwombaji aonyeshe mawasiliano yake bayana
Mwombaji atakayefaulu kwa awamu ya kwanza ataitwa kwenye usaili
Mwombaji atakeyeitwa kwenye usaili aje na vyeti halisi siku ya usaili
Mwombaji atajigharamia mwenyewe wakati wa usaili
Maombi yatumwe kwa:-
MWENYEKITI WA BODI
CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO LULU
S.L.P 3467
MBEYA