Analyze your CV for Mhasibu at BET - SACCOS LTD
Get a free, instant analysis of how well your CV matches this role. Identify ATS issues, keyword gaps, and actionable improvements to boost your chances.
About this job
BET SACCOS Ltd ni Chama cha Ushirika cha akiba na mikopo kilichoanzishwa chini ya sheria ya Vyama vya ushirika Na. 6 ya mwaka 2013. Madhumuni ya chama hiki ni kutoa huduma bora za kifedha ikiwemo kuweka akiba, amana na huduma za mikopo kwa masharti nafuu kwa wanachama wake. BET SACCOS inatanganza nafasi ya kazi ya mhasibu
Ataripoti Kwa: Bodi ya BET - SACCOS LTD
Eneo: Uwanja wa Maonyesho wa Mwl. J.K Nyerere
Mshahara: Kulingana na Scheme ya BET SACCOS LTD
Mkataba wa ajira: Mwaka Mmoja
Ofisi ilipo: Dar es Salaam
Umri: usiyozidi miaka 35
Majukumu
Kuandaa bajeti za miradi na chama
Kusimamia maswala yote ya uendeshaji wa miradi
Kuweka kumbukumbu za mapato na matumizi ya miradi na chama
Kusimamia mali za miradi kulingana na miongozo iliyopo
Kusimamia uhakiki wa vitabu vya kihasibu, nyaraka mbalimbali za manunuzi ya bidhaa za miradi na kuwasilisha kwa wakati
Kuwajibika kujibu hoja za wakaguzi
Kushauri na kuanzisha mfumo wa kihasibu wa vyama vya ushirika na kuingiza taarifa na nyaraka kwenye mfumo
Kusimamia na kutekeleza maamuzi yote ya kamati ya mradi
Kushiriki vikao vya kamati ya miradi na vile vitakavyoamuliwa
Kuandaa taarifa za utendaji siku, wiki, mwezi, robo mwaka na chama na mradi
Kuandaa malipo ya wafanyakazi wa mradi na makato ya kila mwezi
Kutekeleza kazi nyingine atakazopangiwa na viongozi wake
Sifa za Mwombaji
Mwombaji anatakiwa awe na shahada ya uhasibu, biashara au uchumi
Uzoefu/Masharti ya Ajira
Awe amefanya kazi katika vyama vya ushirika zaidi ya miaka miwili
Awe na ujuzi wa kutumia mifumo ya uhasibu
Awe na uwezo wa kutekeleza kazi bila kusimamiwa
Awe na uwezo kutekeleza maswala mbalimbali yanayohusu vyama vya ushirika
Awe mwadilifu na mwenye juhudi ya kazi na kujituma kwa bidii na kuhamasisha wenzake kazini
Awe na uwezo wa kufanya kazi hata muda wa ziada
Awe mwadilifu na mwenye nidhamu ya kazi
Awe na uwezo wa kusimamia miradi
Awe na uwezo wa kubuni na kung’amua matokeo chanya kwa chama pamoja na kufanya uchambuzi wa gharama na faida(cost benefit analysis)
Maombi ya tumwe kabla ya tarehe 30 juni, 2018, Saa 10:00 Jioni kwa;
Mwenyekiti,
BET - SACCOS LTD,
Uwanja wa Maonyesho wa Mwl. J.K Nyerere
S.L.P 5402, DAR ES SALAAM
Ataripoti Kwa: Bodi ya BET - SACCOS LTD
Eneo: Uwanja wa Maonyesho wa Mwl. J.K Nyerere
Mshahara: Kulingana na Scheme ya BET SACCOS LTD
Mkataba wa ajira: Mwaka Mmoja
Ofisi ilipo: Dar es Salaam
Umri: usiyozidi miaka 35
Majukumu
Kuandaa bajeti za miradi na chama
Kusimamia maswala yote ya uendeshaji wa miradi
Kuweka kumbukumbu za mapato na matumizi ya miradi na chama
Kusimamia mali za miradi kulingana na miongozo iliyopo
Kusimamia uhakiki wa vitabu vya kihasibu, nyaraka mbalimbali za manunuzi ya bidhaa za miradi na kuwasilisha kwa wakati
Kuwajibika kujibu hoja za wakaguzi
Kushauri na kuanzisha mfumo wa kihasibu wa vyama vya ushirika na kuingiza taarifa na nyaraka kwenye mfumo
Kusimamia na kutekeleza maamuzi yote ya kamati ya mradi
Kushiriki vikao vya kamati ya miradi na vile vitakavyoamuliwa
Kuandaa taarifa za utendaji siku, wiki, mwezi, robo mwaka na chama na mradi
Kuandaa malipo ya wafanyakazi wa mradi na makato ya kila mwezi
Kutekeleza kazi nyingine atakazopangiwa na viongozi wake
Sifa za Mwombaji
Mwombaji anatakiwa awe na shahada ya uhasibu, biashara au uchumi
Uzoefu/Masharti ya Ajira
Awe amefanya kazi katika vyama vya ushirika zaidi ya miaka miwili
Awe na ujuzi wa kutumia mifumo ya uhasibu
Awe na uwezo wa kutekeleza kazi bila kusimamiwa
Awe na uwezo kutekeleza maswala mbalimbali yanayohusu vyama vya ushirika
Awe mwadilifu na mwenye juhudi ya kazi na kujituma kwa bidii na kuhamasisha wenzake kazini
Awe na uwezo wa kufanya kazi hata muda wa ziada
Awe mwadilifu na mwenye nidhamu ya kazi
Awe na uwezo wa kusimamia miradi
Awe na uwezo wa kubuni na kung’amua matokeo chanya kwa chama pamoja na kufanya uchambuzi wa gharama na faida(cost benefit analysis)
Maombi ya tumwe kabla ya tarehe 30 juni, 2018, Saa 10:00 Jioni kwa;
Mwenyekiti,
BET - SACCOS LTD,
Uwanja wa Maonyesho wa Mwl. J.K Nyerere
S.L.P 5402, DAR ES SALAAM