Analyze your CV for Mhudumu wa Ofisi at GoodNeighbors International
Get a free, instant analysis of how well your CV matches this role. Identify ATS issues, keyword gaps, and actionable improvements to boost your chances.
About this job
Shirika la Good Neighbors Tanzania ni shirika lisilo la kiserikali linatoa huduma na misaada kwa jamii kupitia sekta za elimu, afya, utetezi wa haki za Watoto, elimu ya usafi na maji na kukuza kipato miongoni mwa wanajamii ili kufanikisha maendeleo ya jamii husika
Good Neighbors Tanzania, inakaribish maombi kwa watanzania wenhe sifa na uwezo wa kujana nafasi moja ya mhudumu wa ofisi ya Nambinzo iliyopo Kijiji cha Isenzanya wilayani Mbozi, Mkoa wa Songwe
Majukumu ya Kazi
Kufanua usafi wa Ofisi kwa ujumla (nje na ndani) pamoja na kuzingaia matumizi mazuri ya vifaa vya usafi
Kuweka kumbukumbu ya vifaa vyote vya usafi
Kupanda na kumwagilia maua kuzunguka Ofisi
Kupanga mafile na vifaa vya Ofisi kwa muonekano mzuri na wa kuvutia
Kutoa taarifa za awali ikiwa kuna uhitaji wa kununua vifaa vya usafi
Kupokea na kukaribisha wageni
Kupokean nyaraka za Ofisi na kuhakikisha unaifikisha kwa mhusika kwa ajili ya ufuatiliaji
Masharti ya Jumla
Muombaji awe raia wa Tanzania na wenye umri usiopungua miaka 18
Muombaji lazima awe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea
Muombaji awasilishe barua ya maombi ya kazi kwa nafasi tajwa yenye maelezo binafsi yanayojitosheleza, anwani, namba za simu za kuaminika Pamoja na majina ya wadhamini watatau wa kuaminika
Barua ya maombi iandikwa kwenda kwa Mkurugenzi mkaazi, shirika la Good Neighbors Tanzania, S.L.P 292, Mbozi
Muombaji aambatanishe pia nakala ya cheti cha kuhitimu (leaving certificate) ya kidato cha nne
Maombi yaandikwe kwa lugha ya kiswahili na yawasilishwe, katika Ofisi ya Good Neighbors iliyopo Kijiji cha Isenzanya
Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 14 Agasti 2021 saa Kumi Kamili (10:00) jioni
Muda wa kufanya kazi ni Jumatatu mpaka Ijumaa, kuanzia saa kumi na mbili asubuhi [12:00] mpaka saa saba kamili [7:00] mchana.
Good Neighbors Tanzania, inakaribish maombi kwa watanzania wenhe sifa na uwezo wa kujana nafasi moja ya mhudumu wa ofisi ya Nambinzo iliyopo Kijiji cha Isenzanya wilayani Mbozi, Mkoa wa Songwe
Majukumu ya Kazi
Kufanua usafi wa Ofisi kwa ujumla (nje na ndani) pamoja na kuzingaia matumizi mazuri ya vifaa vya usafi
Kuweka kumbukumbu ya vifaa vyote vya usafi
Kupanda na kumwagilia maua kuzunguka Ofisi
Kupanga mafile na vifaa vya Ofisi kwa muonekano mzuri na wa kuvutia
Kutoa taarifa za awali ikiwa kuna uhitaji wa kununua vifaa vya usafi
Kupokea na kukaribisha wageni
Kupokean nyaraka za Ofisi na kuhakikisha unaifikisha kwa mhusika kwa ajili ya ufuatiliaji
Masharti ya Jumla
Muombaji awe raia wa Tanzania na wenye umri usiopungua miaka 18
Muombaji lazima awe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea
Muombaji awasilishe barua ya maombi ya kazi kwa nafasi tajwa yenye maelezo binafsi yanayojitosheleza, anwani, namba za simu za kuaminika Pamoja na majina ya wadhamini watatau wa kuaminika
Barua ya maombi iandikwa kwenda kwa Mkurugenzi mkaazi, shirika la Good Neighbors Tanzania, S.L.P 292, Mbozi
Muombaji aambatanishe pia nakala ya cheti cha kuhitimu (leaving certificate) ya kidato cha nne
Maombi yaandikwe kwa lugha ya kiswahili na yawasilishwe, katika Ofisi ya Good Neighbors iliyopo Kijiji cha Isenzanya
Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 14 Agasti 2021 saa Kumi Kamili (10:00) jioni
Muda wa kufanya kazi ni Jumatatu mpaka Ijumaa, kuanzia saa kumi na mbili asubuhi [12:00] mpaka saa saba kamili [7:00] mchana.